Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,250
Kwann mkuuacapulco bay
umenikumbusha mbaali
Hahaha mkuu una ushahidi wa ilo kweli?Hila mi naona wamakonde ndio funga kazi. Yaani ukikataliwa na mmakonde basi mtafute Mshana Jr akufanyie mambo ya nyota
Ila ni wazuri halima,kuwaacha roho inaumaMkuu tembea uone vitu vizuri nenda karatu kuna vijiji kama rhotia, mbulumbulu ,a yalabe,tloma, basodawish.endamarariek, endabash, oldeani kuna warembo nahisi ni mbegu ya kihabeshi sio tz
Ila udongo wao mbaya sana wanachoka haraka show kama sisi watoto wa pwani
Pia inasemekana hawajui kusasambua..
Sio wachoyo kabisa.. Nakumbuka wakati nipo Advance moshi kule,Watoto wengi wa Olevel walkua ni Wambulu, wachaga na wapare.. Wengine wairaq sijui..Habari zenu wanajamii forum
Leo naomba mnisaidie kuhusu kujua tabia za wanawake wa kimbulu japo sijawahi kuwaona ila nasikia ni wepesi sana kushawishiwa kufanya ngono mpaka wanasifikla kama Maharage ya Mbeya.Nasikia ni wazuri sana ila tatizo sio wagumu kushawishika.Hebu mtujuze mnao wafahamu hawa wanawake aidha kwa kukaa nao au kama mmewahi kuwaoa kama wanasingiziwa au ni propaganda tu
Nawasilisha
Kwahiyo mademu wa Makabila Mengine walikuwa wakiwakatalieni au mliwaogopa...? Kasikilize Radio One Kipindi cha vifo ndio utajua kina nani wanaongoza kwa kufa na ukaulize wanakufa kwa magonjwa gani!Sio wachoyo kabisa.. Nakumbuka wakati nipo Advance moshi kule,Watoto wengi wa Olevel walkua ni Wambulu, wachaga na wapare.. Wengine wairaq sijui..
Sikufichi wale watoto wa kimbulu walkua wazur hakuna...weupeee
Sisi tulikua hatupat shida yani weekend unakamata tu, kiukwel ni wepesi sana... Nakumbuka kuna dem wa kimbulu alisha date na cube nzima niliyokua nakaa.
Mkuu wewe ni mmbulu?Kwahiyo mademu wa Makabila Mengine walikuwa wakiwakatalieni au mliwaogopa...? Kasikilize Radio One Kipindi cha vifo ndio utajua kina nani wanaongoza kwa kufa na ukaulize wanakufa kwa magonjwa gani!