Katika Harakati za Kila siku basi mdachu š¤£maeneo fulani dodoma mara Rafiki angu wa kike ambae hatukua na mazoea sana akapiga simu gari yake "24.O Harrier" Tako la nyani imekamwa njiani ameishiwa uwese/mafuta
Mimi Niko town AREA D wakati huo Sina gari wala pikipiki, ikabidi nichukue kidumu cha Lita tano nikaenda kununua mafuta ya elfu 20 sheli nikaja nikafill wese kwenye chuma yake Ile zigo la nyani"harrier"š¤£alikua maeneo "uyumbi shule moja inaitwa" shule ya secondary mfano" kwa wakazi wa dodoma wataielewa.
Basi yule demu alishukuru kinoma "akaniambia ni mdrive tuingie" Area C akaanza kuniamini,toka Ile siku so nyingine ananipa na drive tunaenda Singida akienda kikazi chuma yake naichuku napita zangu car wash inaoshwa kwa buku 7000 tu demu Anaona basi ni bonge la care tukazama in love Ila hatukudumu (ukumbuke Sina gari Sina maisha ni nimepanga room moja)
Si mnajua Tena mademu wenye fedha wanapenda kutawala(Sasa hizo pigo mimi mdachu za kupelekeshwa hizo mimi sina)kwo tukatemana
2. Pisi nyingine kuna kihotel kimoja magomeni nilikua napenda sana kwenda pale basi alikuwepo cashier binti mbichi mmoja yeye mbali na ucashier alikuwa anaweza kupika vizuri sana wali wa nazi kwo siku akipika namsifu "kinoma" Mara utani utani demu tukaingia kwenye uhusiano nikachakata sana Ile pisi š¤£kula sana kwny
Ile hotel
3. Pisi ingine nilikutana nayo "kwenye ofisi moja" imeenda kuomba barua za utambulisho basi Ile pisi nikaisifu tu "dada ake una nywele nzuri hauhitaji hata kusuka nimezipenda mno basi yule Dada akasema" mbona marafiki zangu wananiambia nisuke nikamwambia " niamini ZImekukaa poa sana basi mwishowe yule manzi tukaja kuwa wapenzi, kuna siku Atavaa vizuri afu ananiambia Leo sijapendeza" mimi namsfia umewaka dear" mtoto anajaa kinoma
4. Nyingine pisi asubuhi nilikua napenda kujog Kila jioni najiweka fit basi manzi nayeye alikua mtu WA hizo mambo basi ananipitia mabibo external tunajogg mpaka Rufungila (shawarma pale) mara Sijui akiteguka mguu (namnyooshaš¤£s unajua Tena mtoto mkali mideko) tukazoeana mara kachoka kukimbia sometimes so namshika bega na kiuno namkokota pole pole tunarudi home
Nampa kampani Kila siku ya jogging basi tukawa in love(na hapa hakuna matumizi ya hela zaidi ya kununua maji ya kunywa tu) kukucool mwili Baada ya jogging
Hivo mwisho, Hayana Muongozo unaweza tumia pesa nyingi, unaweza usitumie pesa ukatumia mdomo tu na mama ikajaa Ila tusiache kujifunza kutokana Matukio ya Kila siku
Mimi Niko town AREA D wakati huo Sina gari wala pikipiki, ikabidi nichukue kidumu cha Lita tano nikaenda kununua mafuta ya elfu 20 sheli nikaja nikafill wese kwenye chuma yake Ile zigo la nyani"harrier"š¤£alikua maeneo "uyumbi shule moja inaitwa" shule ya secondary mfano" kwa wakazi wa dodoma wataielewa.
Basi yule demu alishukuru kinoma "akaniambia ni mdrive tuingie" Area C akaanza kuniamini,toka Ile siku so nyingine ananipa na drive tunaenda Singida akienda kikazi chuma yake naichuku napita zangu car wash inaoshwa kwa buku 7000 tu demu Anaona basi ni bonge la care tukazama in love Ila hatukudumu (ukumbuke Sina gari Sina maisha ni nimepanga room moja)
Si mnajua Tena mademu wenye fedha wanapenda kutawala(Sasa hizo pigo mimi mdachu za kupelekeshwa hizo mimi sina)kwo tukatemana
2. Pisi nyingine kuna kihotel kimoja magomeni nilikua napenda sana kwenda pale basi alikuwepo cashier binti mbichi mmoja yeye mbali na ucashier alikuwa anaweza kupika vizuri sana wali wa nazi kwo siku akipika namsifu "kinoma" Mara utani utani demu tukaingia kwenye uhusiano nikachakata sana Ile pisi š¤£kula sana kwny
Ile hotel
3. Pisi ingine nilikutana nayo "kwenye ofisi moja" imeenda kuomba barua za utambulisho basi Ile pisi nikaisifu tu "dada ake una nywele nzuri hauhitaji hata kusuka nimezipenda mno basi yule Dada akasema" mbona marafiki zangu wananiambia nisuke nikamwambia " niamini ZImekukaa poa sana basi mwishowe yule manzi tukaja kuwa wapenzi, kuna siku Atavaa vizuri afu ananiambia Leo sijapendeza" mimi namsfia umewaka dear" mtoto anajaa kinoma
4. Nyingine pisi asubuhi nilikua napenda kujog Kila jioni najiweka fit basi manzi nayeye alikua mtu WA hizo mambo basi ananipitia mabibo external tunajogg mpaka Rufungila (shawarma pale) mara Sijui akiteguka mguu (namnyooshaš¤£s unajua Tena mtoto mkali mideko) tukazoeana mara kachoka kukimbia sometimes so namshika bega na kiuno namkokota pole pole tunarudi home
Nampa kampani Kila siku ya jogging basi tukawa in love(na hapa hakuna matumizi ya hela zaidi ya kununua maji ya kunywa tu) kukucool mwili Baada ya jogging
Hivo mwisho, Hayana Muongozo unaweza tumia pesa nyingi, unaweza usitumie pesa ukatumia mdomo tu na mama ikajaa Ila tusiache kujifunza kutokana Matukio ya Kila siku