Pre GE2025 Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?

Pre GE2025 Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haya mambo yanakera Sana ila watanganyika ni kama wameridhika nayo.
Inasikitisha sana, na atakaetokea wa kutetea wanammaliza
Mpaka kuja kuungana na Dunia imeisha
Ni sawa na wengine kuwaambia maisha bila uchawi yanawezekana lakini atakaza mishipa na kusema haiwezekani

Hawa ndio binadamu tunaoishi nao Mkuu
. Unatamani ushike madaraka uwamalize majizi yote hata ubakie peke yako
 
Mnajadili upumbavu,kwamba kamati kuu ya CHADEMA wajumbe wake ni wenyeviti wa kanda tu au? Wenje kapitaje sasa kuwa mwenyekiti wa kanda kama mbowe hamtaki,na umesema Mbowe ana nguvu ya kuamua chochote ndani ya CHADEMA?
 
Ni bora wafukuzwe kuliko kuwa mazombie kwa maslahi ya mtu binafsi. Na kama ni kweli ifahamike hao ndio roho ya hicho chama, wengi tunaimani na hicho chama kutokana na uwepo wa hao.
Mwamba tuvushe, ukiona maccm yanamuandama mtu ujuwe huyo ni antibaotic kwao.

Kamanda Mbowe kanyaga twende, demokrasia ya kuuwa vyama wanayoitaka maccm iko ACT lakini wamefanikiwa kuiuwa bara kwa Zanzibar hawatoweza, mzimu wa Maalim Seif uko pale.
 
Kweli nimeamini CDM ndicho chama safi cha kuiongoza nchi yetu. Maana hizo chaguzi ndani ya chama zinafuatikiwa na wana CCM kulilo hata wana CDM wenyewe.

Wanatamani patokee mtafaruku wa vionhozi - ndoto za mchana za mtu mwenye afya ya akili.
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kuwa hawataki ndani ya viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya Sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Umeweka habari nusu kama vile unakimbizwa. Shusha pumzi lete habari kwa ukamilifu kwa lengo la kujenga.

Kwani ni kosa chadema kupata viongozi wengine wenye ladha mpya.

Je viongozi wanaomaliza muda wao walipaswa kuwa wa milele.

Iwapo jimboni kwako akipitishwa mwengine zaidi yako nafasi ya ubunge sababu itakuwa Mbowe.

Kauli kama hii inaashiria jabza baada ya kupewa taarifa kutoka kwa mmoja ya uliowataja. Na hasa kiongozi wako lema.

Je mnajenga chama au mbakiangamiza.

Kweli kwa msuguano huu mpya mnajiandaa kweli kuchukua nchi au mnajipanga kupigania nafasi za ubunge.
 
CCM mnatapatapa sn Mbowe yupo imara kama simba
Akili za ajabu Sana hizi.... Kwa ivo Mimi ni CCM!?

Msipende kutakatifusha watu. Mbowe naye ni binadamu na anaweza kupenda ama kutokumpenda mtu.

Na demokrasia inaruhusu mtu kutokumtaka mtu. Kama kinachosemwa ni kweli( nimesikia mwenyewe baadhi ya viongozi wakisema hivyo) basi ni haki yake lakini kama siyo kweli ni vizuri akatoka hadharani kuweka kumbukumbu sawa
 
Akili za ajabu Sana hizi.... Kwa ivo Mimi ni CCM!?

Msipende kutakatifusha watu. Mbowe naye ni binadamu na anaweza kupenda ama kutokumpenda mtu.

Na demokrasia inaruhusu mtu kutokumtaka mtu. Kama kinachosemwa ni kweli( nimesikia mwenyewe baadhi ya viongozi) basi ni haki yake lakini kama siyo kweli ni vizuri akatoka hadharani kuweka kumbukumbu sawa
Mkuu unaamini uchonganishi wa CCM?
 
Umeweka habari nusu kama vile unakimbizwa. Shusha pumzi lete habari kwa ukamilifu kwa lengo la kujenga.

Kwani ni kosa chadema kupata viongozi wengine wenye ladha mpya.

Je viongozi wanaomaliza muda wao walipaswa kuwa wa milele.

Iwapo jimboni kwako akipitishwa mwengine zaidi yako nafasi ya ubunge sababu itakuwa Mbowe.

Kauli kama hii inaashiria jabza baada ya kupewa taarifa kutoka kwa mmoja ya uliowataja. Na hasa kiongozi wako lema.

Je mnajenga chama au mbakiangamiza.

Kweli kwa msuguano huu mpya mnajiandaa kweli kuchukua nchi au mnajipanga kupigania nafasi za ubunge.
Umeandika mikingamo ya fikra.
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kuwa hawataki ndani ya viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya Sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Vita vya panzi furaha...........
 
Akili za ajabu Sana hizi.... Kwa ivo Mimi ni CCM!?

Msipende kutakatifusha watu. Mbowe naye ni binadamu na anaweza kupenda ama kutokumpenda mtu.

Na demokrasia inaruhusu mtu kutokumtaka mtu. Kama kinachosemwa ni kweli( nimesikia mwenyewe baadhi ya viongozi wakisema hivyo) basi ni haki yake lakini kama siyo kweli ni vizuri akatoka hadharani kuweka kumbukumbu sawa
Ulishawahi kumuona Mbowe akiangaika na upumbavu wa maccm?

Huyo Msigwa si alilipiwa faini na Magufuli mlikuwa wapi?
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kuwa hawataki ndani ya viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya Sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Inawezekana .

hao uliowataja ndio vichwa vya siasa ndani ya chadema.
Mbowe ana misimamo yake lakini hana uwezo wa kujenga siasa za mageuzi kwa awami hii ya siasa za kina JK, Makamba, Kinana na wanaófanana nao.
Mbowe hana tofauti na JK na Samia katika siasa.

Sasa utafanyaje uchaguzi katika siasa ya mirengo inayofanana?

Ni lazima sasa ifikie mahali tujenge mifumo na mirengo tofauti ya kisiasa ili wahuni na majizi yaungane bila kujali vyama na Wazalendo kama akina Lisu wawe upande mwingine.
Na kwa sasa Chadema sio mali ya mbowe bali mali ya Wanachama wote.
Hofu ya Mbowe na kundi lake ni kuona kuwa Watanzania wengi wanamuelewa Lisu zaidi na wanamkubali sana.

Dr.Slaa alikua ndiye kichwa cha siasa za Mageuzi ndani ya Chadema .

Kama Katiba mpya ni mpaka 2026 basi uchaguzi uwe 2027chini ya katiba mpya . Amani ya nchi yetu ma uhuru wa Tanganyika ni muhimu kuliko ushindi wa mtu mmoja kutoka mashariki mbali .

Kwa Sasa Lisu ni Mwana maguzi halisi .
Mbowe hakuwezi kucheza na aili za watanzanzania . Siasa za Mbowe kwa sasa hazina uelekeo mana
 
Akili za ajabu Sana hizi.... Kwa ivo Mimi ni CCM!?

Msipende kutakatifusha watu. Mbowe naye ni binadamu na anaweza kupenda ama kutokumpenda mtu.

Na demokrasia inaruhusu mtu kutokumtaka mtu. Kama kinachosemwa ni kweli( nimesikia mwenyewe baadhi ya viongozi wakisema hivyo) basi ni haki yake lakini kama siyo kweli ni vizuri akatoka hadharani kuweka kumbukumbu sawa
Basi ingekuwa vyema sana wewe “uvujishe” hao viongozi uliowasikia. Labda kama ID yako ni real na unafahamika. Manake hapa mjadala unawezekana tu kukiwa na uhakika uhakika wa taarifa.

Jinsi ulivyouliza inabidi usubiri “insiders” wa viongozi wa CHADEMA wajitokeze kukuthibitishia hizo tetesi unazoziulizia. Kitu ambacho si rahisi. Na sisi JF Great Thinkers inabidi tuwe kimya tukisubiria hizo za “ndani”.

It’s a rather uncomfortable situation you’re subjecting us to. Naamini kuna namna bora zaidi ungetumia kuleta mada inayojadilika moja kwa moja. Otherwise subiri mahasimu wa CHADEMA na Mbowe wajazane hapa kusema chochote cha kujifurahisha nafsi zao.
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe hawataki ndani ya chama viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao ni Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje ambao inaonekana Mbowe HAWATAKI.
ANAPOTEZA MUDA TUU, YEYE AENDELEE KULA POSHO ZA SIRI-KALI ILA AMELALIA KUTI KAVU, MUDA WOWOTE ANAFALLLL.
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe hawataki ndani ya chama viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao ni Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje ambao inaonekana Mbowe HAWATAKI.
CCM ya Samia je, wanawataka hao wajumbe kuwemo ndani ya CHADEMA?
Hili linaweza kuwa swali ambalo ukiliangalia kwa haraka usiweze kulielewa uhusiano wake na hayo uliyo andika hapo.

Kama uliyo andika yana chembechembe ya ukweli wowote ndani yake, hilo halitakuwa jambo la kushangaza sana kwa baadhi yetu wasomaji wako.
 
Yale yale ya NCCR kisha CUF yanajirudia.
Gari hili la migogoro na makundi maslahi likiwaka na kuchanganya mwendo ni unstoppable until the party becomes dead and obsolete.
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe hawataki ndani ya chama viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao ni Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje ambao inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Wewe umesikia wapi?
 
Back
Top Bottom