Nakumbuka zamani mtu akishasoma tu huyo amepata ajira hasa akisomea afya au education yani ajira zilikua nje nje but i think wasomi wote wa zamani walikua wanapata kazi kikubwa uwe na elimu na vyeti vyako tu ajira zilikua nyingi mpaka wakaanza kuajiri na wenye vyeti feki.
Lakini HayatI Magufuli (apumzika kwa amani) alivyoingia madarakani kila kitu kiliharibika wenye biashara wengi walifunga pesa ikapotea kabisa mtaani watu wakaachishwa kazi maisha yakawa magumu sana lakini Mungu ni Mwema akatuletea Rais Samia Suluhu.
Rais Samia Suluhu ameanza kutuludisha enzi zile za kulamba asali ameanza kutoa ajira na kupitia miradi inayotekelezwa nchini Watanzania wengi wanatekeleza kwaiyo hii inapunguza ugumu wa maisha lakini pia anaenda nchi mbalimbali kwaajili ya kutafuta fursa na wawekezaji kila idara sasa imeimarika.
Hongera sana mama sasa mtaani pesa inaoneka.
Lakini HayatI Magufuli (apumzika kwa amani) alivyoingia madarakani kila kitu kiliharibika wenye biashara wengi walifunga pesa ikapotea kabisa mtaani watu wakaachishwa kazi maisha yakawa magumu sana lakini Mungu ni Mwema akatuletea Rais Samia Suluhu.
Rais Samia Suluhu ameanza kutuludisha enzi zile za kulamba asali ameanza kutoa ajira na kupitia miradi inayotekelezwa nchini Watanzania wengi wanatekeleza kwaiyo hii inapunguza ugumu wa maisha lakini pia anaenda nchi mbalimbali kwaajili ya kutafuta fursa na wawekezaji kila idara sasa imeimarika.
Hongera sana mama sasa mtaani pesa inaoneka.