habari wanajf!kweli cjui huyu wifi yangu ana matatizo au vp maana tangu aolewe ni mwaka mmoja tu umepita lakini ye anachowaza ni lini atapata mimba maana keshatuambia ana mimba karibu mara tatu halafu ikipita wiki anasema imetoka kweli keshatukera hapa kwetu ukizingatia c hata hatuna haraka na huyo mtoto anayemtaka wala hatujawah kumuuliza habari za ye kutopata mtoto zaidi ni hao shangazi na ndugu zake ndio wanaotaka mtoto.please hebu nisaidie jinsi ya kumshauri huyu wifi yangu!
<br />Mwambia afanye mambo aste aste mimba inawakati wake wala asiwe na papara nayo,mtoto majaaliwa ya mwenyezi mungu so asijitie BP bure.
<br />Mna kazi kweli!<br />
<br />
Hiyo topic na wifi yenu huwa inaanzaje maana ni mambo ya binafsi mno ukizingatia ndoa ni changa bado na hamjamshinikiza kupata mtoto.<br />
<br />
Nashauri mjiepushe na mazungumzo yanayopelekea kujadili yanayojiri ndani ya faragha ya kaka na wifi yenu.
Tatizo huwa anasema imetoka bt 2kicalculate tarehe 2nakuta ni ile anayotakiwa kupata hedhi tena na ndio maana anatukwaza ila all in all c huwa 2namwambia avumilie mtoto ni majaaliwa sema ndo hvyo kila saa atakuja ku2eleza wanavyomsimanga tho 2namwambia aachane nao.
Kweli mnakazi nzito, hadi mna calculate hedhi za wifi yenu, kweli nyie ndio wale mawifi hatar, mwambie atulie tu mimba itakuja yenyweTatizo huwa anasema imetoka bt 2kicalculate tarehe 2nakuta ni ile anayotakiwa kupata hedhi tena na ndio maana anatukwaza ila all in all c huwa 2namwambia avumilie mtoto ni majaaliwa sema ndo hvyo kila saa atakuja ku2eleza wanavyomsimanga tho 2namwambia aachane nao.
<br />natamani mngenielewa ndugu zanguni cdhani kama angekuwa anatulia kwake na kutotushirikisha mambo yake yasiyo ya msingi c 2ngeanza yote hayo coz anachotaka kw2 ck zote ni 2jue huwa anabeba mimba ila zinatoka na 2nachofanya ni kumuask tarehe zake za mwisho ni zipi na mwisho wa cku anakuja ona tarehe aloingia mp ni ambyo alitakiwa aingie tena so celewi c kosa le2 hapo ni lipi waungwana maana 2nachojtahd ni kumfanya arelax na huyo mtoto atakuja tu jamani.
<br />
Tatizo lake anatuchukulia kama agement wake wakati anatuzidi 4 years ila ni mropokaji kupita maelezo afu 2nakaa karibu ndio maana anapata muda wa kukaa na sisi na ku2ambia hii mada ndugu yangu tho huwa 2nachukia na wakati mwingne akiwa anaingia 2natafuta shughuli ya kufanya ili 2 asianze maneno.