Tetesi: Ni kweli mishahara itachelewa mwezi huu?

mtanzania10

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
271
Reaction score
81
mshahara was mwezi huu kwa watumishi was serikali na hadi tarehe ,3/8/2026 taarifa hizi nimezipata toka kwa afisa utumishi wa halmashauri niliyopo
 
Ngoja ninunue Unga na maharage ya akiba roho inaenda mbio
 
Mishahara tayr,,,angalia kwa nmb mobile[emoji1]
 
Kama umetoka semeni Ukweli ili na sisi wa Nguriati tujongee MASWA NMB KUFYONZA POSHO
 
Watu wabishi nimecheki hapa naona pesa imejaa kwenye akaunti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…