Ni kweli Mkapa kateleza ulimi kusema 'JK tumnyime kura'?

Ni kweli Mkapa kateleza ulimi kusema 'JK tumnyime kura'?

Zak Malang

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2008
Posts
5,404
Reaction score
239
Nakiri sikuangalia mkutano wa CCM lakini naambiwa eti Benja (wa Awamu ya Tatu) aliteleza ulimi mkutanoni na kusema Kikwete...'tumnyime kura' na wala hakujisdahihisha. Waliosikia au wenye clip watuwekee hapa.
 
Porojo tu hizo! Ndo nimefika Idodomya kutwanga kura yangu nirejee kesho mchana. Vijana nilioongea nao wamesema wameamua kuuangusha Mbuyu kesho! Inshaalah Mungu atuamshe salama
 
ni porojo, hakuna kitu kama hicho, nafikiri hakuelewa statement za Ben.
 
hapa ni jukwaa la utani bila shaka unawakiliza utani wako
 
duuuh ebwana hata mm nliskia hivyooooo hivyoooooooo:smile-big:
 
Back
Top Bottom