Ni kweli mkuu hakuahidi katiba mpya kwenye kampeni zake lakini aliomtangulia alituaminisha hilo.

gungu yetu

Senior Member
Joined
Dec 23, 2013
Posts
176
Reaction score
60
ni mwaka sasa tangu mtukufu raisi aingie madarakani lakini hatujui hatima ya katiba ya wananchi ya jaji warioba na si ya pendekezwa....tunaitaj katiba mpya mzee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…