Kuna uhuru ambao hatukuwanao wakati wa NYERERE tulifanikiwa kuupata kwa KIKWETE tu. UHURU WA KUTOA MAONI HATA KAMA HAYAZINGATIWI ILA TULIKUWA NAO. Tofauti na sasa. Nyerere kuna viongozi alikosana nao sababu ya kutoa maoni yao hasa baada ya vita ya Kagera. Na ndivyo ilivyo sasa watu hawako
huru wananchi wa kaiwada mpaka viongozi wastaafu. Mtu akitoa maoni basi yawe ya kupongeza yakiwa ya kukosoa basi unawashwawashwa. NDIO MAANA HATA KWENYE KIKAO WATU HAWAKUWA HURU KABISA labda ni Makinda ndio alijarubu kidogo. Ila SUMAYE usema kweli ALITIA HURUMA KABISA. (huu ni mtazamo wangu)