mh kwa taarifa yako yale majohn sina saana wala hawawez mambo....UKIMPATA UYO WA KIFUA ICHOO,MKONO HUO MREFUU...ahh mara chache sana kujua kumiliki kandanda....
anayeitajika ni yule aliye fiti..mrefu kdg mwili wa mazoez na UJUZI wa mchezo...BT SIYO UBAUNSA TU NDO IWE TKET YA KUJUA /KUMILIKI KANDANDA VYEMA APANA..