zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
Habari zenu Wanajumuiya ya JF.
Baada ya salamu zangu kwenu ni swali ambalo huwa najiuliza kila siku je nikweli baada ya mapinduzi ya zanzibar ya 12 JAN 1964 na 26 April 1964 TUKAPATA Muungano.???
Kwa hesabu za haraka haraka hapa ni kwamba zanzibar ilidumu na serikali yake kwa miezi 3 na week 2 tu na ndipo ikaamua kuungana na Tanganyika kupata TANZANIA???
Nisaidieni jamani Wale mliobobea kwenye nyanja hizi......
Baada ya salamu zangu kwenu ni swali ambalo huwa najiuliza kila siku je nikweli baada ya mapinduzi ya zanzibar ya 12 JAN 1964 na 26 April 1964 TUKAPATA Muungano.???
Kwa hesabu za haraka haraka hapa ni kwamba zanzibar ilidumu na serikali yake kwa miezi 3 na week 2 tu na ndipo ikaamua kuungana na Tanganyika kupata TANZANIA???
Nisaidieni jamani Wale mliobobea kwenye nyanja hizi......