The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,147
Chifu kona kona zote za nini mzee?! We nenda tu lakini usitupe vidonge. Sema siku hizi nasikia kuna sindano; na kama kweli basi nadhani hizo sindano ndo mzuka hizi kuliko haya mavidonge ya kufanya ndo mssosi wako maisha yote!Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.
Tafuta sample ukajaribu uje na mrejesho
Tafuta sample ukajaribu uje na mrejesho
Anaponya kutumia mafuta ya dieselWakuu habari!
Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.
Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.
Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.
Au ni kweli??
Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
Mambo ya kiroho huenda kwa Imani zaidi.Wakuu habari!
Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.
Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.
Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.
Au ni kweli??
Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
Kuna mshkaji tumemzika last year, Mwamposa kamdanganya kapona HIV, akaacha dozi, aisee Ni hatari kusimulia, Kwanza alianza kuumwa kichwaaa, ikaja akarukwa na akili, baada ya hapo kifoWakuu habari!
Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.
Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.
Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.
Au ni kweli??
Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
Ni hatari tupu...Kuna mshkaji tumemzika last year, Mwamposa kamdanganya kapona HIV, akaacha dozi, aisee Ni hatari kusimulia, Kwanza alianza kuumwa kichwaaa, ikaja akarukwa na akili, baada ya hapo kifo
Kwahiyo mtu akitaka kuponywa VVU atamkuta wapi Yesu?Mwamposa aponye ukimwi yeye ni nani? Yesu ndie mponyaji