The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,071
- 1,361
Hao wazee lazima watakuwa ni wazee flani amaizing..........aisee.....
Hivi na joto hili la Dar unaanzaje kuumwa ngiri? Labda kwa maeneo ya Iringa au Moshi hiyo ni kawaida sana
Wacha kujitetea kama hujawahi kuumwa jua ndo hivyo tena
ngiri ndo nini!??
Just to be on the safe side, tu-assume tu ni wet dream ama morning wood.