Ni kweli mwanaume akishikwa na ngiri sio rijali?

Ouwh kumbee... hii misamiati mingine imepita pemben, inaeza kufanya ukajifkilia mara mbil mbili
Haha. Si ndio. Hawa Ol' timers wanatafuta mbinu za kutumaliza kisaikolojia, ili tuwaachie kina Khantwe. Nimeshtuka.
 
Last edited by a moderator:
Haha. Si ndio. Hawa Ol' timers wanatafuta mbinu za kutumaliza kisaikolojia, ili tuwaachie kina Khantwe. Nimeshtuka.

hhaha basi kwa njia hiyo they have failed... watafute gia zingine tu!!! btw hicho kingekuwa kipimo cha urijali nadhani 99% ya wanaume wangekua fit
 
Last edited by a moderator:
Nishaumwa sana. Bed sheets zangu za high school zina ramani za kutosha za ngiri. Nishatumia sana barafu asubuhi kupoza makali ya ngiri-wood. I'm safe.

Enzi zile shule swali linakuja huelewi kitu, unatunga swali lako mwenyewe na unaandika essay ya jibu la swali ulilojitungia badala ya lile uliloulizwa.

Sometimes ticha anakupa maksi 1 kati ya kumi kwa ubunifu!
 
I don't think kama hko ndicho kipimo cha urijal if yes basi 99.99 ya Tanzanian men cio rijali unabishaaa.
 
Ngiri noma sana,unasikia nye.ge kufanya unashindwa
 
Hahahahaaa nishaumwa sana ngiri, kule kwetu kuna baridi sana, mbaya zaidi kuna siku nimeshikwa ba ngiri huku nikiwa nafanya mtihani wa Taifa form2😉

Af mi naongea tu siijui hata ngiri yenyewe ikoje...hivi ndo inakuwaje vile..??
 
Hii inawapata wanaume tu, pumbu zinakuwa zinauma sana kwa ndani as if misuli imekaza! Unakuta mwanaume analia km mtoto mdogo

Cc Khantwe

Uwiiii duh kweli sasa ikikupata ndio upo sehemu mbaya inakuaje?
 
Last edited by a moderator:
Uwiiii duh kweli sasa ikikupata ndio upo sehemu mbaya inakuaje?

Unavumilia huna ujanja, ila km kuna moto unaweza kujianika Mwili upate joto, pia kuna dawa za asili huwa zinatuliza kidogo, sasa shida Inakuja km ndo upo na mtoto mrembo chumbani kwny mgegedo halafu ndo ikakupata!😉
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…