Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Unavumilia huna ujanja, ila km kuna moto unaweza kujianika Mwili upate joto, pia kuna dawa za asili huwa zinatuliza kidogo, sasa shida Inakuja km ndo upo na mtoto mrembo chumbani kwny mgegedo halafu ndo ikakupata!😉
Ngiri ndo inaumaje eti
Hii inawapata wanaume tu, pumbu zinakuwa zinauma sana kwa ndani as if misuli imekaza! Unakuta mwanaume analia km mtoto mdogo
Cc Khantwe
Si ni ugonjwa jamani lazima ataelewa tu
Hahahahaaa ushawahi kushuhudia mwanaume anaangua kilio km mtoto mchanga...mbaya zaidi anakuwa ni mchepuko tu!
Am sure Honey Faith utakimbia bila hata kuvaa jeki!
What is ngiri!!?!! nnnnnnazeke!
ngiri ndo nini!??
ngiri ndo nini!??
ngiri ndo nini!??
Pretaaa !!Ngiri ni limunyama..........halafu hiyo avatar yako hiyo.........