Ni kweli mwanaume anaweza kusaidia misukosuko ya ujauzito?

Ila ukitafuta connection yake ndio unachoka kabisa
 
Mimi mume wangu imeshamtokea kwa nikiwa na ujauzito (two times). Ila doctors wanakataa kuwa ni kwa sababu ya mimba. Yaani hakuna scientific explanation. Ila wazee wanasema lots of stories in connection with that. Kuna mama alinambia sababu ni kuwa niliwahi kumruka mume wangu wakati nina mimba akiwa amelala. Si unajua zile za kumruka mtu wakati wa kutoka kitandani. Well ni complicated lakini ipo. My hubby anatapika mpaka mimba yangu inafika miezi minne. Mimi si feel chochote napeta tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…