Ni kweli natafuta girlfreind.

SIZLA

Member
Joined
Aug 15, 2013
Posts
20
Reaction score
1
Mimi ni kijana wa miaka 24. Nikumekuwa nipo alone mdaa, nahisi kuna kitu na miss sana ahaa inachosha kuish hivi. Anayetafutwa hapa ni good akiwa mkaz wa arusha au moshi asizid miaka 22 sichagui din wala kabila ni real,
 
kila la heri kwenye mchakato wako wa kutafuta gelofrengi.......

hapo kwenye anaetafutwa ni gud kama hujamaizia vile
 
Hehehehehe jaman foolish age hii balaa...24yrs!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…