Ni kweli natafuta mchumba

Kaka zako tumekutuma na tumekuajiri KUSOMA tu, sasa wewe umeenda kisomo chako kingine.

Ishi kama ulivyokuwa ukiishi maisha ya Advance.

Jokes mkuu

But, Ujitambue na uwe makini.
 
Kaka zako tumekutuma na tumekuajiri KUSOMA tu, sasa wewe umeenda kisomo chako kingine.

Ishi kama ulivyokuwa ukiishi maisha ya Advance.

Jokes mkuu

But, Ujitambue na uwe makini.
Kaka nakuelewa nitasoma kaka[emoji23]
 
Ona kumbe mmeshakalili....tofauti ya watu wanaofanana hutenganisha kazi na mapenzi....dukani hata siku moja siingizi maswala ya mapenzi kwa wateja hata iwaje
Bado hajaja mrembo wakukutikisa hapo dukani....
 
Njoo kariakoo duka la simu limeandikwa al-shiraz unanikuta ndo utajua ninakazi au sina kazi....huwa so date na wanawake was chuoni spendi mapenzi ya kitoto
Hayo sisi hayatuhusu, peleka Ujinga wako huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…