kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Baraza la mawaziri la Sasa limepata changamoto na ukosoaji mkubwa kwa mambo makuu matano;
1. Halina Waziri full kutoka Zanzibar
2. Halina uwiano wa jinsia
3. Linatuumiwa kuhusu udini na ukanda
4. Wabunge wakuteuliwa kuingia kwenye baraza huku wakiwemo wabunge zaidi ya 300 wamajimbo ambao wameachwa.
5. Lipo tatizo la mawaziri kupewa wizara zilizokinyume na taaluma zao na ambazo hawana uzoefu nazo. Mfano Leo tumeambiwa Waziri wa madini mwalimu, lakini kiuzoefu hajawahi kufanya kazi kwenye hi sekta.
Je, tukiacha sifa 4 za juu, nchi inakosa wasomi na wataalu wakuongoza hizi sekta? Hatuna wataalamu wa madini? Mageologist akina Muhongo ni kwamba hawana uwezo au njia yakupata wateule ni kwa wakubwa kuamua Nani ni mtaalam nani siye?
Kama hatuna wataalamu je hii sekta tunasemaje inafanya vizuri? Ni akina Nani wanaifanya ifanye vizuri? Je hatuoni kwamba mabeberu tulikua tunawasingizia kumbe walikuja wakakuta hatuna wataalamu na Hadi Sasa wanatugharagaza kwa sababu hatuna wataalamu!?
1. Halina Waziri full kutoka Zanzibar
2. Halina uwiano wa jinsia
3. Linatuumiwa kuhusu udini na ukanda
4. Wabunge wakuteuliwa kuingia kwenye baraza huku wakiwemo wabunge zaidi ya 300 wamajimbo ambao wameachwa.
5. Lipo tatizo la mawaziri kupewa wizara zilizokinyume na taaluma zao na ambazo hawana uzoefu nazo. Mfano Leo tumeambiwa Waziri wa madini mwalimu, lakini kiuzoefu hajawahi kufanya kazi kwenye hi sekta.
Je, tukiacha sifa 4 za juu, nchi inakosa wasomi na wataalu wakuongoza hizi sekta? Hatuna wataalamu wa madini? Mageologist akina Muhongo ni kwamba hawana uwezo au njia yakupata wateule ni kwa wakubwa kuamua Nani ni mtaalam nani siye?
Kama hatuna wataalamu je hii sekta tunasemaje inafanya vizuri? Ni akina Nani wanaifanya ifanye vizuri? Je hatuoni kwamba mabeberu tulikua tunawasingizia kumbe walikuja wakakuta hatuna wataalamu na Hadi Sasa wanatugharagaza kwa sababu hatuna wataalamu!?