Ni kweli Nelson Mandela alifia gerezani 1985?

Utoto raha sana. Mnakaa mnasimuliana stories za kitoto. Inasemekana,inasemekana nyingi. But hata kutumia tu common sense hamtaki. Ujinga tu wa hovyo hovyo
 
Inawezekana mana inasemekana kuwa Wakristo ndio hao hao walioanzisha imani na dini ya kiislamu. Kama hilo limewezekana bas possibly hata iyo conspiracy kwa mzee Madiba was possible!
 
Bahati mbaya sana kizazi hiki kumekuwa na maarifa mengi sana , huku ukweli unaweza kuwa uongo na uongo ukawa ukweli
 
Wazungu walitupa elimu ili tujitambue na watutawale kwa njia rahisi, walifanya makusudi, kwann nchi nyingi za Africa zilianza kupata uhuru miaka ya 1960'
 
Acheni utoto.
Wengine tumemwona Mandela na Winnie kwa macho yetu alipotutembelea hapa Dar 1990.
 
Kuna mdau alishawahi kusema hivyo, ila inawezekana alifanyiwa "Brain washing". Ila inawezekana pia. Tatizo mambo mengi yanafichwa sana yaani
 
Historia ya Muafrika no cloned kwa sababu haikuandikwa na mwafrika mwenyewe
 
Teknolojia inayohusu kumzuia Winnie tu asigundue kuwa kuna Nelson Mandela fake lakini wote aliosoma nao, aliofungwa nao, aliofanyanao kazi, dada zake, watoto wake etc isiwaguse? Dhana hiyo ni zaidi ya wehu.
Kama sehemu za Siri aliezifahamu alikuwa Winnie tu hao wengine mwisho wao nje tu. Kama ndivyo basi ilikuwa sawa kumtaliki Winnie mapema sana
 
Mambo ya ndoa hayako kama unavyofikiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…