Nakumbuka hata mimi nilipokuwa high school(wavulana tupu), nakumbuka sometimes ladha ya msosi ilikuwa kama ina mafuta ya taa hivi!.
na jiko lililokuwa linatumika kupikia ni la Kuni, kwa hiyo ishu ya mafuta kuingia kwa bahati mbaya kwenye msosi ilikuwa haipo!.