Ni kweli smatphone zinaua macho?

Husna Muba

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
14,524
Reaction score
44,577
Habarini
Wiki tatu zilizopita nilikuwa na hali mbaya macho yalikuwa yananiuma vibaya sana , tatizo kubwa likiwa ni mwanga yaani penye giza maumivu yanapungua.

Basi nikaenda hospitali nikapimwa nikapewa dawa za kutumia mwezi mzima now sijambo ingawa bado naendelea na dawa
Sasa watu wangu wa karibu wananambia ni hizi simu ndio tatizo mie simu yangu huwa napunguza mwanga hadi mwisho
Je kuna kaukweli?!
 
Km una uoni hafifu halafu unakandamuza/sogeza simu usoni ndio tatizo
Unaweza kupata gata kansa ya macho
Watu wenye uono hafifu wanasgauriwa kutotimiatumia kompyuta
 
Km una uoni hafifu halafu unakandamuza/sogeza simu usoni ndio tatizo
Unaweza kupata gata kansa ya macho
Watu wenye uono hafifu wanasgauriwa kutotimiatumia kompyuta
Macho yangu yako vizuri yanaona vizuri na hayajawahi kunisumbua hii ndio Mara ya kwanza
 
Mkuu unatumia tecno?
Hii hali imenianza na mimi baada ya kuanza kutumia tecno miezi mitatu iliyopita. Yanawasha sana!
Njoo unithibitishie niitupe hii simu mara moja.
 
Usiku unazima taa halafu unatumia simu janja huku mwanga wa simu upo juu.
 
Turudi tu kwenye zama za barua Na sanduku la posta
 
Mkuu unatumia tecno?
Hii hali imenianza na mimi baada ya kuanza kutumia tecno miezi mitatu iliyopita. Yanawasha sana!
Njoo unithibitishie niitupe hii simu mara moja.
Yah! Ni kweli natumia tecno halafu hata mm yalianza kuwashawasha hjvyohivyo then hali ikawa mbaya
 
Sio tu huleta athari kwenye macho Bali mpaka kwenye mishipa ya fahamu

Matumizi ya simu huenda sambamba Na over concentration ya akili so jiandaeni Na mipasuko ya mishipa ya fahamu nyakati zikisogea mkifikia Umri wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…