Haiku JF-Expert Member Joined Mar 31, 2018 Posts 2,915 Reaction score 2,050 Mar 25, 2022 #141 Tunapigwa tu.
Farolito JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 12,001 Reaction score 27,175 Mar 25, 2022 Thread starter #142 parts said: Tunapigwa tu. Click to expand... Aisee
A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,430 Reaction score 11,813 Mar 26, 2022 #143 Farolito said: Lakini inasemekana sio watulivu kwenye ndoa,yaani uaminifu sifuri Click to expand... Huenda Kwa baadhi yao wachache ikawa kweli. Penye wengi hapakosi kuwa na mengi!
Farolito said: Lakini inasemekana sio watulivu kwenye ndoa,yaani uaminifu sifuri Click to expand... Huenda Kwa baadhi yao wachache ikawa kweli. Penye wengi hapakosi kuwa na mengi!
FourTwoNet JF-Expert Member Joined Aug 4, 2022 Posts 1,236 Reaction score 2,512 Sep 3, 2022 #144 Zurie said: Sio kwamba hayo mahaba ni feki, ni ya kweli ila ni tamaa tu na sometimes ujinga unawapeleka puta. Hlf Tanga ni mji una mambo ya utani sana, so kiutaniutani mdada anaweza kuliwa. Click to expand... Nikienda Tanga ntakuwa nashinda kule kwenye uzi wa kimasihara....yani ma breakin news tu!
Zurie said: Sio kwamba hayo mahaba ni feki, ni ya kweli ila ni tamaa tu na sometimes ujinga unawapeleka puta. Hlf Tanga ni mji una mambo ya utani sana, so kiutaniutani mdada anaweza kuliwa. Click to expand... Nikienda Tanga ntakuwa nashinda kule kwenye uzi wa kimasihara....yani ma breakin news tu!