Ni Kweli "Tiles" zinazotengenezwa hapa Tanzania hazina square?

Fundi kakupindishia nyumba yako.
Nyumba yako, yaani kila chumba hakina mita za mraba kamili. Kuna error ya zaidi ya 1%.
Hata iwe na mraba tatizo lipo kuna tails za mchina 600 x600 ziko vizuri watu wanashanga ubora hafifu angalieni nagharama
 
Sio kweli mkuu tails za 400x400 ndozinatatizo ila 600x600 ziko vizuri
 
Ni kweli huwa zinapishana na sijawahi kujua sababu ni nini?.....
 
Tiles za bongo hazina square..ukitaka tiles nzuri na affordable cheki za india..wenzetu suala la quality control ya bidhaa ipo juu..spain is the best ila bei kidogo imechangamka zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…