Ni kweli tulio omba seconda selection majina hayajaww proved

Ni kweli tulio omba seconda selection majina hayajaww proved

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Naombeni mniambie kwa wazoefu maana tulifanya application tuka ambiwa umwkuwa selected lakini leo selection zimetoka jina sioni so huwa unakuaje kwa wazoefu yanaendelea kutoka o ??? Ndo hatuja cahguliwa msaada tafadhar
 
kiukweli sina uhakika, lakini hata hivyo system ya tcu inazingua sana, kuna watu waliambiwa wafanye 2nd round lakn badae status wanaanbiwa hawajafanya application wakati washafanya.
 
Deadline yenu ya kuapply 2nd round bado wapendwa msijali. Hata mwaka wetu ilikuwa ivo, bila shaka za kwenu itakuwa after tar 15
 
Deadline yenu ya kuapply 2nd round bado wapendwa msijali. Hata mwaka wetu ilikuwa ivo, bila shaka za kwenu itakuwa after tar 15

Anhaaaaa hapo nimekuelewa kaka thnakxx much
 
Back
Top Bottom