MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 168
Wana JF mimi Binafsi nimefurahishwa sana na suala la CHADEMA Kumteua Dr. wetu achuane na "mbayuwayu" katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Nimefurahishwa kwa sababu atatoa changamoto na kama siyo kumng'oa kabisa. (hahahaaaaaa!!!!!!)
Najua na wewe umecheka kidogo.
Lakini nimesikitika kwa sababu utamu wa Bunge mwakani hamna kabisa. Fikiria ule ubishi wa Marehemu Chacha, hoja zake doctor, sasa si itakuwa ziiiiii, na ndiyo tu?
Lakini pia licha ya CCm mwaka huu kuwa na upinzani mkali wao kwa wao, CHADEMA wamejipanga vyakutosha maana nijuavyo mimi ni kwamba sehemu nyingi za rural vyama vya upinzani havipo. wala hakuna modalities zozote. Nadhani labda wangewashawishi vijana wengi wajiunge na watengeneze matawi mengi kama ilivyo kwa CCM, na vijana hao wagombeee nafasi mbalimbali kwa rural areas. Lakini wakati umefika wa kuamka na kufanya mabadiliko
TUMPE DR. SLAA URAIS
Najua na wewe umecheka kidogo.
Lakini nimesikitika kwa sababu utamu wa Bunge mwakani hamna kabisa. Fikiria ule ubishi wa Marehemu Chacha, hoja zake doctor, sasa si itakuwa ziiiiii, na ndiyo tu?
Lakini pia licha ya CCm mwaka huu kuwa na upinzani mkali wao kwa wao, CHADEMA wamejipanga vyakutosha maana nijuavyo mimi ni kwamba sehemu nyingi za rural vyama vya upinzani havipo. wala hakuna modalities zozote. Nadhani labda wangewashawishi vijana wengi wajiunge na watengeneze matawi mengi kama ilivyo kwa CCM, na vijana hao wagombeee nafasi mbalimbali kwa rural areas. Lakini wakati umefika wa kuamka na kufanya mabadiliko
TUMPE DR. SLAA URAIS