Ni kweli tuna Dereva asiyeaminika wa Gari yetu TZ 1961, ila kwa Makondakta hawa 'Walafi ' anaowaamini atatutumbukiza tu Gari Mtoni tukafe

Ni kweli tuna Dereva asiyeaminika wa Gari yetu TZ 1961, ila kwa Makondakta hawa 'Walafi ' anaowaamini atatutumbukiza tu Gari Mtoni tukafe

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Bahati mbaya GENTAMIYCINE nayajua Majina ya Makondakta kwa Herufi zao za mwanzo za Majina yao ya mwisho ( ubini ) pekee.

Ni Kondakta A, Kondakta K, Kondakta N, Kondakta K, Kondakta M, Kondakta N, Kondakta C, Kondakta S, Kondakta M na Kondakta A.

Kwa Nguvu Kubwa ya Ushawishi na hata Ubabe ( Umafia ) Dereva wa dharula wa TZ 1961 hana Ubavu wa ama Kuwabishia au Kuwakatalia lolote lile Makondakta hawa tajwa ambao kwa bahati nzuri wanalijua Gari vyema kuliko Yeye hivyo akina GENTAMYCINE kama ni Abiria tuvumilie tu mpaka akatubwage Korongoni Mtoni na baadae tukishapona kwa Majeraha huenda Akili zetu zitatukaa sawa ili Siku zingine tuwe makini na Madereva huku tukichukua muda wetu mwingi wa kutafuta Kondakta Mmoja tu anayeaminika na hawazi tu Kumdhulumu Pesa hata Dereva wake.
 
Wengine tunadhani hilo gari laendeshwa na madereva 2!
Matokeo yake?
Gari linakosa mwelekeo..
Kasi yake haieleweki..
Upangaji wake wa gia ni wa kigugumizi...
Layumba yumba kama yule waziri mlevi!
Usishangae likagota aidha kwa kukosa mafuta au ....
 
Kwakua nina haraka, sioni sababu ya kuanza kuandika salam, ndio maana hiyo nafasi hapo juu nimeacha kwaajili ya salam.
Naunga mkono hoja.
 
Nilikuwa namuamini dereva wa dharura lakin kadiri mshale wa saa unaposonga naingia wasiwasi mkubwa Sana!!
 
Back
Top Bottom