Ni kweli usipofanya mapenzi muda mrefu kwa mwanaume unahatari zaidi ya kuumwa mafua makali?

kijana255

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2017
Posts
277
Reaction score
261
Wadau wa humu,

Hivi ni kweli usipofanya mapenzi muda mrefu unaumwa mafua makali, kuna jamaa hapa mtaani ana leta hiyo anasema fact. Swali je ni kweli?
 
Sizani kama kuna ukweli hapo mm Nina 7 years na sijaugua mafua ya ndega
 
wadau wa humu ivi ni kweli usipo gegedua mda mrefu unaumwa mafua makali, kuna jamaa apa mtaani ana leta iyo anasema fact............swali je ni kweli
Usipogegeda muda mrefu za kwako zinarudi nyuma na kuwaomba ugegedwe wewe, hiyo ni fact so kaa mbali na huyo rafiki yako asije akakuomba umgegede yeye[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
a
duuuuuuuu sizani
 
da

daaaa skumbuki ata ila kitambo na leo nimeaka na mafua makali sana, wana apa kijiweni wamenifanya stor
Jaribu wana wako walichokuambia hapo kijiweni kwenu Halafu utupe mrejesho
 
Ku du hukooo veepe... Unataka kusema zile makitu hugeuka makamasi eeeh
 
Kweli. Mimi nina kuwa na arosto kabsaa yaani natetemeka na mafua makaliii.. Ndani ya wiki moja inakuwa mateso kwangu baada ya hapo nakuwa powa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…