Ni kweli wabunge wengi na mwaziri ni wagonjwa-loliondo statistics

Ni kweli wabunge wengi na mwaziri ni wagonjwa-loliondo statistics

Technician

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2010
Posts
841
Reaction score
222
Kutokana na Muongozo wa Mh Lusinde kuwa ni wakati muafaka wa
kuwapima wabunge wetu,kutokana na hali inayojitokeza bungeni kwa kipindi hiki
ni wazi kuwa wabunge ni wengi ambao ni wagonjwa na wengi walishaenda
kwa Babu Loliondo kunywa kikombe lakini bado wanaonekana wanasinzia
bungeni.
Naunga mkono hoja wabunge wote na mwaziri wapimwe afya zao kabla
hatujashuhudia ngumi mjengoni na wakaumia wagonjwa bila sababu.


Nawasilisha;

 
Back
Top Bottom