Ni kweli wafanyakazi wa makampuni ya kutoa mikopo (Micro Finance) wana hali mbaya kiuchumi au ni uzushi tu?

Ni kweli wafanyakazi wa makampuni ya kutoa mikopo (Micro Finance) wana hali mbaya kiuchumi au ni uzushi tu?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kwa jinsi navyochukulia huwa naona makampuni haya yana pesa nyingi kwasababu huwa wanafaidika kupitia marejesho kausha damu na mtu asipolipa wanachukua assets zenye thamani kubwa zilizowekewa dhamana.

Leo nimesikia kwamba wafanyakazi wao wengi wana hali za kawaida/ chini kiuchumi

Kuna ukweli?
 
Wao wanakwambia bila kuwa bahili hawawezi kufahanikiwa. Nimesikia wakisema hata tajiri kama MO anashindia pepsi moja na chocolate bscs 2, hata wiki mbili au tatu.
Kuna mzee alikuwa akinunua mkate mdogo na maji ya supu asubuhi, mchana wali harage na usiku maji tu. Huyu mzee sasahivi tajiri sana najaribu kukopi maisha yake alopitia nashindwa kwa uroho🤣
 
Kwa jinsi navyochukulia huwa naona makampuni haya yana pesa nyingi kwasababu huwa wanafaidika kupitia marejesho kausha damu na mtu asipolipa wanachukua assets zenye thamani kubwa zilizowekewa dhamana.

Leo nimesikia kwamba wafanyakazi wao wengi wana hali za kawaida/ chini kiuchumi

Kuna ukweli?
Na bado
 
ninamiliki ufanisi microfinance na tuko vizurii...tunavuta helaa ndefuu tu
 
Back
Top Bottom