Ni kweli wafanyakazi wa serikali wanazuiwa kufuga dread? Kama ndiyo ni kwanini?

Ni kweli wafanyakazi wa serikali wanazuiwa kufuga dread? Kama ndiyo ni kwanini?

MwanawaMUNGU41

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,036
Reaction score
737
Kuna mwalimu mmoja rafiki yangu (ke),ana dread nzuri sana ni ndefu na zinang'aa lakini anafunga kilemba anapoenda kazini na akirudi hukitoa.

Mwanzo nilidhani labda ni style kaamua lakini baada ya kumuuliza akaniambia serikali haiwaruhusu.

Swali langu ni kwamba: kwanini wanazuiwa wakati ni nywele halisi inamaana wanatukuza mawigi yaani Watumishi wakijipiga mikorogo hawaongei lkn rasta ndo wanaona dhambi???[emoji21]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama ni kweli. Nawaona wadada wengi wameajiriwa wanaziachia, ila unatakiwa kuziweka katika hali ya usafi, zikiwa ndefu unabana kawaida, haina tofauti na rasta za plastic.
Tatizo ni wakati bado ndogo sana kuziachia zitaonekana hazipo smart.
 
Kuna drassing code katika taasisi za uma, wengine wanaita dressing attire na zinatofautiaana toka taasisi moja hadi nyingine. Hata hivyo rasta kwa wanawake sio mwiko. Kwa wanaume baadhi ya taasisi haziruhusu.
 
Nadhani 'presentation' ama styling ya hio dread ndo kitu cha msingi sanaa...
 
Kuna mwalimu mmoja rafiki yangu (ke),ana dread nzuri sana ni ndefu na zinang'aa lkn anafunga kilemba anapoenda kazini na akirudi hukitoa.Mwanzo nilidhani labda ni style kaamua lkn baada ya kumuuliza akaniambia serikali haiwaruhusu.
Swali langu ni kwamba: kwanini wanazuiwa wakati ni nywele halisi inamaana wanatukuza mawigi yaani Watumishi wakijipiga mikorogo hawaongei lkn rasta ndo wanaona dhambi???[emoji21]

Sent using Jamii Forums mobile app

Wanawake ruksa dreads ila wanaume noooo!
 
Kama unazitinza vyema kwanini zikataliwe Mimi ninazo na nipo serikalini
 
Yeye tu na maamuzi yake, mi pia nnazo sijawahi sikia zinakataliwa
 
Kwa wanawake ruksa wakati wowote. Kwa wanaume kuna utaratibu unatakiwa kufuatwa ikiwa ni pamoja na kua na barua kutoka taasisi ya urasta uliyopo. Iko hivyo hata kwa wanafunzi. Baada ya hapo utatakiwa kuvaa kofia nyeupe uwapo kazini au shuleni kwa wanafunzi
 
Kuna mwalimu mmoja rafiki yangu (ke),ana dread nzuri sana ni ndefu na zinang'aa lakini anafunga kilemba anapoenda kazini na akirudi hukitoa.

Mwanzo nilidhani labda ni style kaamua lakini baada ya kumuuliza akaniambia serikali haiwaruhusu.

Swali langu ni kwamba: kwanini wanazuiwa wakati ni nywele halisi inamaana wanatukuza mawigi yaani Watumishi wakijipiga mikorogo hawaongei lkn rasta ndo wanaona dhambi???[emoji21]

Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo ilikuwa ni kulinda heshima za watu, mwanamke mfupi akiweka dread na ukamwangalia kutokea umbali, utadhani ni nanasi.
 
Back
Top Bottom