Viva89
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 1,261
- 528
Jamani,hawa watu sawa weonekana kufanya makosa in the society,ila ni haki kweli kumpa mlo mmoja kwa siku kama inavyosikika kwa sababu ni mfungwa? Zitto Kabwe aliuliza swali la ukweli,"wafungwa na mahabusu wanapata chakula mara ngapi kwa siku?"..hawa watu huwa wanasaulika kabisaaa,ila wanahaki zao pia,including kwenye kula,malazi na kadhalika,au wanaJF mnaonaje?ni haki mlo mmoja kwa siku?