dah,tunahitaji kubadilika aisee...maneno yako yamenigusa na kunisikitisha mkuu..aibu!Mkuu, usishangae hilo. Nchi hii watu wanakula mpaka pesa za waathirika wa Ukimwi, yatima na pesa ya chakula ktk hospitali. Mimi nimewahi kutembelea mgonjwa pale Muhimbili, chakula alichopewa kilinisikitisha. Tunatesana sisi kwa sisi. Magereza nafahamu bajeti zao zinaonesha milo mitatu, ikiwa pamoja na ratiba za nyama, matunda, maziwa nk. Na haya malipo hufanyika na serikali. Swali ni je hali ndiyo hiyo?