GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Tanzania ina ardhi kubwa kuliko Uganda, lakini kuna watu wa Bukoba wanaotamani wangekuwa wanaenda kuiuza kahawa yao nchini Uganda.
Tanzania inayo bandari, lakini Mganda akitaka kusafirisha kahawa yake, kama siyo kwa ndege, basi atalazimika kuitumia bandari ya Tanzania au ya Kenya.
Pamoja na hayo, bado kuna Watanzania wanaotamani wakaiuzie kahwa yao nchini Uganda. Hiyo inaonesha kuwa wakulima wa kahawa nchini Uganda wanafaidi zaidi kuzidi wa upande wa Tanzania.
Huo utofauti umetokana na nini?
Tanzania inayo bandari, lakini Mganda akitaka kusafirisha kahawa yake, kama siyo kwa ndege, basi atalazimika kuitumia bandari ya Tanzania au ya Kenya.
Pamoja na hayo, bado kuna Watanzania wanaotamani wakaiuzie kahwa yao nchini Uganda. Hiyo inaonesha kuwa wakulima wa kahawa nchini Uganda wanafaidi zaidi kuzidi wa upande wa Tanzania.
Huo utofauti umetokana na nini?