vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,624
Habari wakuu,
Kama heading inavyojieleza, kapita pita pita zangu nikapata hii taarifa kuwa walimu hawalipi yale makodi ya TRA wanapoagiza magari, naomba wenye ujuzi wanipe ukweli upoje na kama kuna link yoyote nitakapoweza kupata taarifa rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama heading inavyojieleza, kapita pita pita zangu nikapata hii taarifa kuwa walimu hawalipi yale makodi ya TRA wanapoagiza magari, naomba wenye ujuzi wanipe ukweli upoje na kama kuna link yoyote nitakapoweza kupata taarifa rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app