Dullo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2009
- 251
- 64
WanaJF mie ninapata mashaka kama kweli katika nchi yeyote nusu ya watu wake wakawa wamejiandikisha kupiga kura, maana tunaambiwa Watanzania tunakadiriwa kufikia milioni 40 huku vijana wakikadiriwa kuwa ni zaidi ya asilimia 60 watoto sijui ni asilimia ngapi na wazee pia.
Hebu tusaidiane kupena data hizi kuhusu idadi iliyotolewa ya hawa wapiga kura mwaka huu.
Niko njia panda nifafanulieni.
Hebu tusaidiane kupena data hizi kuhusu idadi iliyotolewa ya hawa wapiga kura mwaka huu.
Niko njia panda nifafanulieni.