Eti wanaume wa tanga mradi wakishapata malavidavi na kula vizuri baaaas! Hawajui kingine, wabahili, wanapenda kutafuta wamama wenye ela zao ili. Kukwepa majukumu au wasichana wenye kazi ili wasicare , wanakera hao, waige mfano wa wanaume wa kichaga bwana, atabalance mambo yake ili apate. Maendeleo na mpenz wake ahudumiwe vizuri, loh....wadau semeni ukweli wa mnalojua