Aisee pole ndugu, hii mianaume ya pande hizo sijui why.....kweli BIG NO to them, inaboaa, hata ukiifundisha nasikia haibadilikimi nilimpataga huyo wa tanga,jamani sijawahi hata kuona senti tano yake,ila wanajua sana mapenzi na kulaghai,wazuri wa mahaba,kwahiyo vijisenti vyangu vyote nilikuwa namuhonga yeye,maana nilipozinduka ilikuwa too late:faint2:,nimeshaibiwa sana tu.:disapointed:
hawa watu bwana ni BIG NO:nono::nono:
Hawajui kutafuta pesa.
Hahah ningekuwa mtanga nngekwambia hahah, mie nyanda za juu kaskazini, kimo karibia mita 2 hahahGFM, hii topic haiishi mpaka na wewe useme ukweli, au we mtanga pia nn, hahaaa
hahah kalubandika..........hahah, lakini kuna mbaya gani kama una uwezo na mnapendana. Simi nilimpataga huyo wa tanga,jamani sijawahi hata kuona senti tano yake,ila wanajua sana mapenzi na kulaghai,wazuri wa mahaba,kwahiyo vijisenti vyangu vyote nilikuwa namuhonga yeye,maana nilipozinduka ilikuwa too late:faint2:,nimeshaibiwa sana tu.:disapointed:
hawa watu bwana ni BIG NO:nono::nono:
shemeji detty huyu ulienae hulka yake tu ya ubahili siye watanga twajua penda na kutunza pia na usiombe ukimkuta na mijihela ndo utafaidi kweli.Hushangai ukimtuma mwanaume wa kitanga anunue mahitaji ya nyumbani anakuja na nyanya 2, vitunguu 2, tunda moja au mawili, mafuta ya chakula yakupima kama ya jero hivi , loh nisitaje sana, kitoweo ndo kabsaaaa, mwanaume kama huyo nitampeleka wapi mie, halafu anapenda kula vizuri na sana tu, hivi hiyo ni akili kweli alafu ni msomi na anamshahara usopungua laki 6 kwa mwezi....sio ubahili ni nini! Kweli tanga kunani.....
shemeji detty huyu ulienae hulka yake tu ya ubahili siye watanga twajua penda na kutunza pia na usiombe ukimkuta na mijihela ndo utafaidi kweli.Hushangai ukimtuma mwanaume wa kitanga anunue mahitaji ya nyumbani anakuja na nyanya 2, vitunguu 2, tunda moja au mawili, mafuta ya chakula yakupima kama ya jero hivi , loh nisitaje sana, kitoweo ndo kabsaaaa, mwanaume kama huyo nitampeleka wapi mie, halafu anapenda kula vizuri na sana tu, hivi hiyo ni akili kweli alafu ni msomi na anamshahara usopungua laki 6 kwa mwezi....sio ubahili ni nini! Kweli tanga kunani.....
Pole sana!mi nilimpataga huyo wa tanga,jamani sijawahi hata kuona senti tano yake,ila wanajua sana mapenzi na kulaghai,wazuri wa mahaba,kwahiyo vijisenti vyangu vyote nilikuwa namuhonga yeye,maana nilipozinduka ilikuwa too late:faint2:,nimeshaibiwa sana tu.:disapointed:
hawa watu bwana ni BIG NO:nono::nono:
Mamushka umenichekesha...hawajui kutafuta ela kumbe.....sa wanategemea nn??
tena ni wachoyo aisee....sifikirii kitu kama hicho.ubahili ni tabia ya mtu,sio kwa sababu uwe umetoka tanga.
shemeji detty huyu ulienae hulka yake tu ya ubahili siye watanga twajua penda na kutunza pia na usiombe ukimkuta na mijihela ndo utafaidi kweli.
Eti wanaume wa tanga mradi wakishapata malavidavi na kula vizuri baaaas! Hawajui kingine, wabahili, wanapenda kutafuta wamama wenye ela zao ili. Kukwepa majukumu au wasichana wenye kazi ili wasicare , wanakera hao, waige mfano wa wanaume wa kichaga bwana, atabalance mambo yake ili apate. Maendeleo na mpenz wake ahudumiwe vizuri, loh....wadau semeni ukweli wa mnalojua
Tanga!!!!!! Kunani Pale mbona kila kitu...........
kinadada tunapenda kuhongwa ndio maana hatuheshimiki!!!
hahah kalubandika..........hahah, lakini kuna mbaya gani kama una uwezo na mnapendana. Si
unaprovide tu, Mbona sie akina kaka tunawapa na hatusemi mnatuibia, na majina mtatupa sijui ATM du