Ni kweli wanawake weusi ni watamu kuliko weupe?

Upuuzi mtupu,ungefanya research kabla haujaleta Uzi wako APA,kwan wee mtoto?!
 
Halafu mtindo wenu wakusema eti mtu mweusi au mweupe ni makosa kwani rangi za binadamu hazina au hazijulikani majina yake, kwani ukisema mweupe hebu mfananishe na pamba uone kama ni kweli vivyohivyo kwa mweusi mfananishe na mkaa uone, nafikiri nimeeleweka. Kuhusu utamu sijui hiki kineno nani alikianzisha humu maana naona kinazidi kutumiwa
 
I think its true, maana
Wana joto la hatari na papuchi zao huwa pink moja matata sana
 
Ngoja Tuwaulize Wasukuma, Eti Ngosha Tusaidie Hili Swali, Mwangaluka Bhabha, Msinishangae Kutangulia Kuuliza Alafu Ndio Nasalimia Ndio Kawaida Ya Wasukuma Ongea Shida Yako Kwanza Ndipo Usalimie.
 
Kamuulize Platinumz atakueleza, portfolio yake ina kila aina ie Mama kijacho, Kidoti, Wema, Penny, Mwanahawa n.k n.k
 
Salaam wana JF,

Mara kwa mara nimekuwa nikisikia watu wakisema wanawake weusi ni watamu kuliko weupe, hili lina ukweli wowote?
Wakuu kuna mwenye kufahamu ukweli kuhusiana na hili atujulishe.


Karibuni


Ungewauliza watu uliowasikia wakisema ungepata jibu sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…