ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
No, it's consideration watapigiwa kura wakipita ndio watakuwa nominated...By the way hongera Yao japo Kuna wa2 wataponda SanaWakuu Amani Iwe nanyi.
Nimeona Post Za Wasafi Kuwa Nominated Kwenye Grammy Awards 2021 lakini kila nikitafuta kwenye Official Accounts Za Grammy Sioni.
Ni Kweli Kwamba
1.Diamond Platnumz
2.RAYVANNY
3.ZUCHU
Wote hawa Wamekuwa Nominated Kwenye Grammy Awards? na Wanashindana na Nani?
Wataweza Kweliiiiii?
Hao watu Wana fans wengi so wakipigiwa kura nyingi wataingia kwenye Grammy awards nomineesWakuu Amani Iwe nanyi.
Nimeona Post Za Wasafi Kuwa Nominated Kwenye Grammy Awards 2021 lakini kila nikitafuta kwenye Official Accounts Za Grammy Sioni.
Ni Kweli Kwamba
1.Diamond Platnumz
2.RAYVANNY
3.ZUCHU
Wote hawa Wamekuwa Nominated Kwenye Grammy Awards? na Wanashindana na Nani?
Wataweza Kweliiiiii?
Ahaa wapi davido babalaoWakuu Amani Iwe nanyi.
Nimeona Post Za Wasafi Kuwa Nominated Kwenye Grammy Awards 2021 lakini kila nikitafuta kwenye Official Accounts Za Grammy Sioni.
Ni Kweli Kwamba
1.Diamond Platnumz
2.RAYVANNY
3.ZUCHU
Wote hawa Wamekuwa Nominated Kwenye Grammy Awards? na Wanashindana na Nani?
Wataweza Kweliiiiii?
sio kweliWakuu Amani Iwe nanyi.
Nimeona Post Za Wasafi Kuwa Nominated Kwenye Grammy Awards 2021 lakini kila nikitafuta kwenye Official Accounts Za Grammy Sioni.
Ni Kweli Kwamba
1.Diamond Platnumz
2.RAYVANNY
3.ZUCHU
Wote hawa Wamekuwa Nominated Kwenye Grammy Awards? na Wanashindana na Nani?
Wataweza Kweliiiiii?
Aisee π π π ..uchawi upo shauri yako ..wazee wa ndele waleUshinde Grammy kwa kuimba Baba lao labda Grammy za CCM za kupewa kofia.
Daah π π watu hamtaki kuelewa somo kabisaGrammy unaijua ww au umesimuliwa?
Acheni uwongouwongo na sifa za kijinga Grammy wana official website yao na wametangaza tarehe ya 2021 awards ambayo Ni January 31 na wameeleza pia majina ya nominees bado hayajatoka kwenye Grammy hakuna kitu hicho eti consideration ya kupigiwa kuraNo, it's consideration watapigiwa kura wakipita ndio watakuwa nominated...By the way hongera Yao japo Kuna wa2 wataponda Sana
Kwaninii mkuu?I think majaji wa hiyo Grammy either they in drugs ,high..!
Kwan wale wanaoshinda wanaimba nini?Ushinde Grammy kwa kuimba Baba lao labda Grammy za CCM za kupewa kofia.
Acha kukariri, vitu hivi vya kukariri ndio vilimfanya Liverpool akachezea 7, mambo hubadilikaWizkid na Burnaboy watakua wapi?
Hahahaha
Mengi aliyofanya yalionekana hayawezekani mfano kuchaji pesa nyingi ukimuita kwenye show zako, Lakin Sasa wengine wameamka, Ata hili linawezekanaLabda Grammy ya tandale