DuhHuyu dada kuna tatizo mahali..
Kama anaweza hata kumchezesha movie mkuu wa nchi basi ameshindikana.
Dah dada msanii sana huyuHiyo canulla imegeuzwa toka lini dawa inatiririka kwenda kwenye vidole???pole kwa kuumwa kwake bt ka hizo hela anafanyia mambo mengne na sio kutibiwa basi asidanganye uma na ndio maana watu wanakasirika
Unasoma unachokiandika lakinMama yangu walipokosa mishipa drip lilipitishwa hapo hapo.
Mkuu wa nchi kajiingiza mwenyewe. Wengine wanawashwa sijui yeye ni nini?Huyu dada kuna tatizo mahali..
Kama anaweza hata kumchezesha movie mkuu wa nchi basi ameshindikana.
Hata mm nimesikitika sana nchi ya ajabu sana hii huyu dada hawez kufanya huo upuuz nyuz kama hiz za kufuta ni kuichafua jf tuWatanzania ni wajuaji wa kila jambo na ni watu wenye midomo mirefu sana...
Huyu dada hana sababu ya kudanganya jambo kama hilo.....
nimeuliza kwani nd hizo picha hapo juuu ali postHata mm nimesikitika sana nchi ya ajabu sana hii huyu dada hawez kufanya huo upuuz nyuz kama hiz za kufuta ni kuichafua jf tu
India wahudumu waswahili angalia mkono wa daktariBisheni ambao hamjawahi ugua au kuuguza. Kupata mshipa wa kupitisha drip siyo kitu cha utani.
Ni kwanini ugonjwa wa wastara unawaumiza vichwa?
Tamani mungu afanye miugiza ili mmpokee huo ugonjwa.
Apigwe tu maana Hamna namnaMpigaji pia hupigwa ktk 18 za wajanja wake.
Ajali imegeuka defensive mechanism yake kuishiHuyu mwanamke kila ninapomuona kwny picha huwa anakuwa analia, Ana matatizo gani? Hivi yy Ndio wa kwanza kupata Ajali na kuumia?
Huwa analilia nn haswa?
Mama Arusha by night muke ya kila bilionia wa Arusha bado uko? Siku hizi husomeki sana hapa jukwaani... kulikoni?Kitaalam......cannula inatakiwa iwekwe kuelekea kwenye kucha ili dawa ipige cross yenyewe kwenda juu taratiiiiiibu.....Hii ni kuzuia dawa kumjaa mgonjwa.....
Dr Preta........
Mamdenyi drip imewekwa sehemu sahihi lakini ueleko sio sahihi hata mama ako kama ulikuwa makini utagundua drip ilielekea juuMama yangu walipokosa mishipa drip lilipitishwa hapo hapo.
Mama Arusha by night muke ya kila bilionia wa Arusha bado uko? Siku hizi husomeki sana hapa jukwaani... kulikoni?
Ndugu, siyo hivyo. Aliyeweka picha hakuwa na maana hiyo. Ameweka picha tofauti ili kuonyesha direction sahihi ya cannula inavyochomwa kwenye mkono. Sasa ukiangalia hiyo ya huyo dada huo mkono wake uchomwaji wa hiyo cannula uko tofauti na hiyo mikoni ya wazungu ambayo ndo uchomaji sahihi. Umeelezea tofauti kabisa, kifupi hujaelewa.Mkuu Ww unaona Hiyo mikono inafanana Hapo? Ni mikono ya mtu mweusi Hiyo?
Ndo usanii wenyewe huo sasa.Huyu mwanamke kila ninapomuona kwny picha huwa anakuwa analia, Ana matatizo gani? Hivi yy Ndio wa kwanza kupata Ajali na kuumia?
Huwa analilia nn haswa?
Direction ya hiyo cannula ilikuwaje? Sindano ilielekea kwenye vidole au begani?Mama yangu walipokosa mishipa drip lilipitishwa hapo hapo.