Kaunara
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 249
- 452
Wataalamu wa jadi wapo dunia nzima kila sehemu wapo.
Katika maisha ya binadamu kuna mauza uza mengi sana. Kuna mda binadamu anashindwa kupata hata usingizi kutokona na mambo kuwa tight. Kila mmoja anajua ni jinsi gani anajua kutatua changomoto kama hizi wengine wanamalizia stress na pombe, wengine kanisan, wengine kwa marafiki wengine kwa wataalamu hawa wa jadi wengine wanakufa nazo ndani tu kila mmoja anajua ni wapi anamalizia stress zake.
Swali langu ni hawa ambao wanachangamoto ambazo wanazipeleka kwa wataalamu wa Jadi, je ni kweli uwa wanapata msaada kutoka kwa hawa watu?
kuna madhara yeyote ambayo wamepata kutoka kwa hawa watu? wakati wakipata msaada au baada ya msaada kupata?
Soma Pia: Tuwaheshimu Watalamu wa Jadi
Karibuni.
Katika maisha ya binadamu kuna mauza uza mengi sana. Kuna mda binadamu anashindwa kupata hata usingizi kutokona na mambo kuwa tight. Kila mmoja anajua ni jinsi gani anajua kutatua changomoto kama hizi wengine wanamalizia stress na pombe, wengine kanisan, wengine kwa marafiki wengine kwa wataalamu hawa wa jadi wengine wanakufa nazo ndani tu kila mmoja anajua ni wapi anamalizia stress zake.
Swali langu ni hawa ambao wanachangamoto ambazo wanazipeleka kwa wataalamu wa Jadi, je ni kweli uwa wanapata msaada kutoka kwa hawa watu?
kuna madhara yeyote ambayo wamepata kutoka kwa hawa watu? wakati wakipata msaada au baada ya msaada kupata?
Soma Pia: Tuwaheshimu Watalamu wa Jadi
Karibuni.