Ni kweli Watanzania hawajui Robot ni kitu gani?

Ni kweli Watanzania hawajui Robot ni kitu gani?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Sabasaba mambo yamenoga sana, lakini moja la Ajabu kubwa kutokea ni watu kuamini Matapeli hawa wanaojiita maroboti.

Screenshot_20240704-200059_1.jpg

Je ni kweli watanzania hawajui Robot ni kitu gani?

NCHII HII KILA MTU NI TAPELI
 
Back
Top Bottom