...Duh! mi nadhani utamu unakuwa nao mwenyewe ile ni kikolezo tu!Ikiwa tamu ndo inakuwaje?
kuna amabazo sio tamu?
...Duh! mi nadhani utamu unakuwa nao mwenyewe ile ni kikolezo tu!
Mi nafikiri Tanga ilikuwa zamani siku hizi kila mtu mjuzi wa mahaba ukimkuta ambaye siye basi ni uvivu wake tu wa kujituma.
I stand to be corrected; bado wanashika hatamu; hawa wengine wamechanganya mambo na uzungu mwingi; lakini wale wa Tanga wamebakisha ule uasilia; wacha kabisa ile kitu waweza uza mji!
Ok I cant say more as sio mwonjaji na wanadai raha ya ngoma uingie uicheze nami siwezienda test kwa kuwa si mkaka. Hivi ujuzi huu uko kwa wanawake wa Tanga tu au hata wanaume wao? Lol sijui nitapata jibu hapa?I stand to be corrected; bado wanashika hatamu; hawa wengine wamechanganya mambo na uzungu mwingi; lakini wale wa Tanga wamebakisha ule uasilia; wacha kabisa ile kitu waweza uza mji!
Nenda Tanga kataest ila kama tu hujaoa lakini.
Kwanza ni jinsi wanavyoenzi shughuli nzima ya kumegana; zoezi zima kuanzia usafi wa mwili mpka game lenyewe na unyenyekevu wa halli ya juu achilia mbali kauli ya kuomba kuongezewa dozi kimahaba we acha tu; kama ulikuwa unishia round ya 2 hapo utafika hata ya sita! Unaandaliwa mazingira ya kuakamuliwa asali kwa namna inayoleta msisismko hivyo unajikuta ukirudia na kurudia! mambo ya kuwekwa kwenye kisahani............
Tofauti ya Tanga na umakondeni; ni staha na utulivu mabinti wa kitanga wanaokuwa nao; umakondeni wao watataka kukupepeta tu weee na mara nyingi hawakubali miondoko mingine zaidi ya kifo cha mende!
...Duh! mi nadhani utamu unakuwa nao mwenyewe ile ni kikolezo tu!
Naanza kuelewa kidogo.
sasa mkuu, wanakuwa genuine au fake? i mean hayo yoote wanayafanya for the love of the game au for the love of mantaining the contract and/or taking the agreement into another level?
Haahahaaa!They love the game na sijui wengine nilokutana nao mimi hakukua na malalmiko baada ya mimi kuondoka; ni wakarimu na they have what we call value for your money🙂