Ni kweli?

Hamna kati ya hayo.........Naishi Tanga Nguvumali
ahaa kumbe w tanga!! mahala mapenzi yalipozaliwa ....nshakusoma NDOO NA KIDUMU! wongo? hahahahahaha tanga raha!!
 
Ukuta ni mzuri sana we ruka tu haina madhara yoyote !uakikishe una vaseline lakini usije umiasana kwa raha zako mtoto wa kike Ruka ukuta huo ndo wakati wake ati!
Nimemkatalia mpaka tuligombana, japo ananibembeleza eti tuwe tunaruka xmas au pasaka na labda sikukuu ya Idd tu. Anadai haitakuwa mbaya sana siku 3 kwa mwaka.
 
kataa, atakukomaza huyo! Kwan mme wako mpemba?
 
mmmh! avatar ni yangu binafsi

Kama hili ni kweli basi hili swali hukupaswa kuliuliza.............................................
Wana jamvi, eti mume wangu anataka turuke ukuta eti ndio kuimarisha ndoa? Hii ina ukweli gani?

Jibu jepesi ni kuwa usiandikie mate a wino upo............................
 
ah si wapemba tu hata makabila mengine wanafanya hivo.mm nilishangaa sana the day aliponilazimisha tufanye hivo.but thank god nina msimamo wangu.so kataa usilazimishwe
 
Nahisi harufu ya fix hapa; lkn kama ni kweli, mdodose jinsi gani kuruka ukuta kunaimarisha ndoa? Mimi ningefikiri upendo wa dhati na uaminifu ndio huimarisha ndoa!

Pili muulize, huko next door kuna nini anachokosa main house? Why did he marry a woman in the first place? (abdullah ameona dalili za ushoga, l can't aggree more)

Here is a half stupid answer kwa swali la pili! Kama main house kumeloosen u can fanya zoezi la kukaza masoz itasaidia, au kama kimkuki chake kiduchu, awavisit wachina!

Last but not least, kuna ulimbukeni wa wanaume after stupid vijiwe talk kuwa mafirauni! This is very but, u can enjoy ur sex life bila hiyo kitu aisee, creativity zenu zinabase kwenye porn movies ambazo actors n actress r just sex slaves and l mean real slaves ambao r forced to do anything; nyie kwa kuiga kila kitu ndio mnaona wazungu mnaowaabudu kuwa ndio love/sex life yao!

Salimia don't be a victim, hakuna ndoa inayoimarishwa na ufirauni; anakythreat tu huyo, kuwa ukikataa atatafuta wengine, let him go!
 
Wana jamvi, eti mume wangu anataka turuke ukuta eti ndio kuimarisha ndoa? Hii ina ukweli gani?
Yeah, ukimpa inaweza saidia kuimarisha ndoa yenu. Kama huwa anapata tigo kwa mtu mwingine ataachana nako na ataconcentrate kwako! Mpe anchokitaka
 
Juzi ulituletea hii thread...Kuna mkaka anapitaga hapa mtaani kwetu, yaani nampenda ila kumwambia ndiyo nashindwa, usoni naona haya, hata sijui nifanyeje? Nisaidieni pleeeease. vipi umeshampata,mmeoana na anataka kuruka ukuta?im just curious.
thread kama hizi hazihitaji zipo kwa ajili ya kutuliwaza wenye stress zetu
 

Kaka usiamini kila unachokisoma hapa. Kuna watunzi wazuri sana hapa na wengine wapo kutangaza biashara zao. Take care.
 
kuruka ukuta aaaaaaaaah!ruka ukuta wa hiyo avatar yako kwanza.teh teh teh teh
 
Out of the blue amekuomba kuruka ukuta? Nadhani atakuwa amejaribu kwengine na akapenda ndiyo maana anataka. Ask him.
 
Siku ukimrusu kukuruka ukuta, ujue kuachwa kunakaribia.
 
Vipi mmeishafunga uzazi au unataka kujifungua kwa shida na kuzomewa na manesi? pia ujue pakisha kuwa kama mdomo wa mamba (pakishafumuliwa) utakuwa unajambajamba bila breki, sasa sijui utakuwa unajifungia tu chumbani mwako muda wote, maana hiyo aibu usipime!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…