Ni kwetu tu au ni taifa zima?

Edo nyanda

Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
46
Reaction score
5
Jamani wadau pamoja na wale tuliomaliza form 6,hivi ni kwel serikali haijatengeneza Leaving certificate? Maana headmaster wetu katuambia bado hazijaletwa,tujuzane please kama nyie wengine mnazo
 
hv ni kweli mfumo wa upangaji max umebadilika??
 
hahaah. leaving certificates zinatumika wap cku hizi? za kwangu nshazisahau nlipoweka.
 
Jamani wadau pamoja na wale tuliomaliza form 6,hivi ni kwel serikali haijatengeneza Leaving certificate? Maana headmaster wetu katuambia bado hazijaletwa,tujuzane please kama nyie wengine mnazo

leaving certificate hutolewa na shule uliyo soma ila academic certifacate hutolewa na wizara yz elimu na mafunzo ta ufundi ,labda fafanua kudogo cheti kipi kati ya hivyo viwili maana maelezo yako hayajaeleweka leaving certicate halafu serikali????
 
Jamani wadau pamoja na wale tuliomaliza form 6,hivi ni kwel serikali haijatengeneza Leaving certificate? Maana headmaster wetu katuambia bado hazijaletwa,tujuzane please kama nyie wengine mnazo

Ya itakuwa ni kweli bob coz ata huku katuambia hivyo kuwa mwaka huu na hata kidato cha nne walio maliza mwaka jana nao hawajapata leaving C
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…