Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Kuna mpangaji wangu ni kama anaboa sana.
Kila akiingia bafuni utasiki 'pyeee…'. akipenga kamasi lake. Na sijui huwa analipaka wapi huko bafuni.
Kuna ulazima wowote wa kupenga kamasi kina unapooga ?
Kila akiingia bafuni utasiki 'pyeee…'. akipenga kamasi lake. Na sijui huwa analipaka wapi huko bafuni.
Kuna ulazima wowote wa kupenga kamasi kina unapooga ?