Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
jamaa anapenda misifa hadi pikipikivin diesel nuksi anapaisha gari hadi mbinguni
Walimzushia amefanikiwa kufa...hivi Mr bean anaendelea kupiga karate
Kuna mpangaji wangu ni kama anaboa sana.
Kila akiingia bafuni utasiki 'pyeee…'. akipenga kamasi lake. Na sijui huwa analipaka wapi huko bafuni.
Kuna ulazima wowote wa kupenga kamasi kina unapooga ?