Madam vivian original
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 503
- 997
Wabari za kazi wakuu.
Huko nyuma nilileta Uzi kuhusu TRA kunikadilia kodi kubwa tofauti na biashara,
Nikachukua ushauri wenu wengi wakiniambia niende kwa meneja wa tawi lakin hakunielewa kaniambia pambana ukishindwa andika barua alafu ufunge biashara.
Nikaona acha nipambane kufunga tena na nimeshanunua vifaa itakua nimepoteza, baada ya kukaa na kifikilia kujikwamua kimaisha nikaona niongeze biashara nyingine ndani ya fremu yangu ya salon ya kike ili nisipate hasara SNA maana biashara imekua ngumu SNA.
Nataka niuze na vipodozi kama mafuta, relaxer, pafyum, na vipodozi vingine, lakin kuna rafiki yangu ananitisha anasema nikiweka vipodozi inabidi niende office za TFDA ili wakague LA sivyo wakinikuta watanitaifisha.
Lakini Nina Tin no na leseni ya jiji kwan lazima kwenda huko TFDA nishaurin kabla cjafanya maamuzi us kuweka vipodozi wasije wakanifunga jaman
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko nyuma nilileta Uzi kuhusu TRA kunikadilia kodi kubwa tofauti na biashara,
Nikachukua ushauri wenu wengi wakiniambia niende kwa meneja wa tawi lakin hakunielewa kaniambia pambana ukishindwa andika barua alafu ufunge biashara.
Nikaona acha nipambane kufunga tena na nimeshanunua vifaa itakua nimepoteza, baada ya kukaa na kifikilia kujikwamua kimaisha nikaona niongeze biashara nyingine ndani ya fremu yangu ya salon ya kike ili nisipate hasara SNA maana biashara imekua ngumu SNA.
Nataka niuze na vipodozi kama mafuta, relaxer, pafyum, na vipodozi vingine, lakin kuna rafiki yangu ananitisha anasema nikiweka vipodozi inabidi niende office za TFDA ili wakague LA sivyo wakinikuta watanitaifisha.
Lakini Nina Tin no na leseni ya jiji kwan lazima kwenda huko TFDA nishaurin kabla cjafanya maamuzi us kuweka vipodozi wasije wakanifunga jaman
Sent using Jamii Forums mobile app