Ni lazima sehemu ya uume ikatwe??

disadvantages

  1. Ni kama mikono ya sweta la shule ya arusha school
  2. inatunza uchafu (utoko) hivyo hata blow-job ni mandanda
  3. Kichwa hakikomai hivyo ukimwi nje-nje
  4. sura yake ni soo (kama uso wa kenge)
  5. Halufu-halufu
  6. Ukimwi nje nje
Nadhani ukimwi ni nje nje kwa yeyote atakayefanya ngono nzembe awe ana sweta au hana. Cha muhimu ni kwamba watu tuache ngono nzembe. VAA CONDOM
 
Hivi 'wanyalu' hawana mila ya kukata?

Wanyalu wana mila ya kukata, nilishawahi kukaa na hii jamii, nilikuwa nawaona wanapeleka watoto vijana jandoni.
 
Wazungu huwa hawajali kukata.Jamaa yangu huku alikuwa na mtoto wake wa kiume ambaye alizaliwa bongo na hakuwahi kukatwa huko, alipofika huku akampeleka mtoto wake kwa daktari ili akatwe,yule daktari akamwambia usimkate haina shida yoyote anaweza kukaa hivi hivi.Hapa mimi nilishangaa sana kwakuwa huko kwetu tunafundishwa kuwa kwa sababu za kiafya kukatwa ni muhimu
 

duh huyo daktari ni wa ukweli ?
 
jamani haya mambo mbona yapo tangu enzi za Yesu jamani, umri mzuri ni kipindi cha utoto yani kabla mtoto hajaanza darasa la kwanza(sio lazima, na sio formula maalum coz hakuna umri specified), isipokua akikatwa mapema rungu linakua vizuri in proportion (ukitaka maelezo zaidi hapa ni-PM)
 
Nasikia wenye GOVI akipiga goli la kwanza linabakia umumu hadi apige la pili ndio linatoka yote kwa hiyo uke unakuwa auchafuki mapema
 
Huu utamaduni wa kutairi umekuwapo kwa wakurya miaka mingi kabla wazungu hawajafika africa. Hivyo hauna uhusiano wowote na mzungu. Mimi nadhani faida za kutairi zinazidi hasara na ningewahamasisha wale wote ambao bado hawajatairi kufanya hivyo. Siku hizi sindano za ganzi zimerahisisha zoezi zima la kukata sehemu ya uume..
 
mdau amekupata vilivyo..............
 
govi inasababisha ugoigoi wa kufanya mapenzi............its presence also easen virus penatration during unsafe sex intercoures.........
 
govi inasababisha ugoigoi wa kufanya mapenzi............its presence also easen virus penatration during unsafe sex intercoures.........


Actually kwetu ikigundulika (na lazima ijulikane) kuwa hujakatwa unatengwa na jamii kabisa! sisi ni namna mojawapo ya kuonyesha kuwa u8mekuwa mwanaume wa kujitegemea sasa, acha habari ya kumega
 
Kutahiri ni vizuri zaidi na ni faida kwa mtahiriwa kwani siyo siri ukiwa na govi harufu itokanayo na uchafu ni zaidi ya `kero! Circumsion is inevitable for health reasons.
 
ila nasikia ambazo hazijakatwa zina uzuri wakenilisikia masisiteri fulani wa kinyaru wanaongea tukiwa kwenye kparty
Ninyi hakina dada ndo mnasababisha midume ijeruhiwe kwa kukatwa, sasa hivi mnaanza kusifia wasio tahiliwa, je waliotahiliwa tayari si watajisikia vibaya?

Muda wa kukatwa ni miaka 7 na kuendelea, muda huo uzi ulioko chini ya uume ambao usaidia kuvuta manii unakuwa umeisha komaa, akikatwa mdogo kuna uwezekano wa kupungukiwa nguvu za kiume ukubwani
 
disadvantages

  1. Ni kama mikono ya sweta la shule ya arusha school
  2. inatunza uchafu (utoko) hivyo hata blow-job ni mandanda
  3. Kichwa hakikomai hivyo ukimwi nje-nje
  4. sura yake ni soo (kama uso wa kenge)
  5. Halufu-halufu
  6. Ukimwi nje nje

Kaka nimekugongea thenksi
Safi sana.
Hilo kono la sweta lazima litoke.
 
Kuna akina dada wa mikoa flani wanapenda sana hilo sox wanadai inapo ingia na kutoka inawasugua vilivyo.
 
si lazima! ni utamaduni tu tumeuiga kwa watu wa nchi za magharibi!!ila kiundani pia ni vizuri kukata, kwa sababu ya wale wenzetu wasiopenda kuoga wanaweza kuwa na kifurushi cha uchafu!!hivyo kuondoa hilo ni vizuri kukata!! muda mzuri wa kukata ni wakati mtu akiwa mdogo kama miaka mitano, sita au ata minne! kwa wakubwa sijui!!
 
anaepinga kutahiriwa akija pata mtoto asimtahiri kisha asubiri mwanawe afike darasa la tatu ndo atajuta kwa nini hakumtahiri...
Coz atataniwa mpk ataacha shule....
Teh teh teh watamuita Govinda
 
disadvantages
ni kama mikono ya sweta la shule ya arusha school
inatunza uchafu (utoko) hivyo hata blow-job ni mandanda
kichwa hakikomai hivyo ukimwi nje-nje
sura yake ni soo (kama uso wa kenge)
halufu-halufu


lol
 
disadvantages
Ni kama mikono ya sweta la shule ya arusha school
inatunza uchafu (utoko) hivyo hata blow-job ni mandanda
Kichwa hakikomai hivyo ukimwi nje-nje
sura yake ni soo (kama uso wa kenge)
Halufu-halufu

Umeniacha hoi!! Sweater lako lilikuwa halikukai vizuri?
I was actually thinking of starting a thread on Arusha School MTM, umepaona siku za karibuni? It is a shame. Ninazo picha nitazipost soon kama kuna watu wako interested lakini, sitaki kuboa watu kama hamna wengi waliosoma pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…